carric HANA THAMANI hiyo kwa man utd

mnamo JUMATATU ..mashetani wekundu wa MAN UTD walifanya usajili wa kushangaza wakingia gharama ya paun mil.18.6
kumsajili kinda MACHAEL CARRICK ...
na kama haitoshi akapewa jezi namba 16 iliyokuwa ikivaliwa na ROY KEAN..
KUNA MAONI NA MASWALI MENGI JUU YA UASAJILI HUU....
kuna wengine wanaona kuwa CARRICK hana thamani hiyo...
NA KWAMBA man utd WAMEKURUPUKA KUMNUNUA
zaidi we soma hapa..
www.lucassona.blogspot.com